• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
    • Units
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

MASHIRIKA YA UMOJA WA MATAIFA ( UN) YAPAMBANA NA UKATILI WA KIJINSIA DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO

Posted on: August 7th, 2019

Shirika la “Wote Sawa” linaloshughulikia Haki za wafanyakazi wa Majumbani na Usafirishaji Haramu wa Binadamu lililopo Kasulu Mjini kwakushirikiana na Shirika la Usafirishaji wakimbizi Duniani (IOM).

Mashirika haya yote yamekubaliana kufanya kazi kwa pamoja ili kuweza kupinga ukatili wa kijinsia kupitia chini ya Mpango wa Pamoja wa Kigoma Joint Program (KJP) dhidi ya Mpango wa Serikali wa kupinga Ukatili dhidi ya Unyanyasaji wa Kijinsia pamoja na kupambana na Usafirishaji haramu wa Binadamu.

Maneja wa Shirika la Wote Sawa BI.Jackline Ngalo alisema kuwa kwa kushirikiana na Shirika la Usafirishaji wakimbizi duniani (IOM) chini ya Mpango wa “Kigoma Joint Program” wameweza kuwahudhumia wananchi 77 kuanzia mwaka 2017 hadi kufikia mwaka huu 2019, walioletwa kupitia ofisi ya ustawi wa Jamii Halmashauri ya Mji-Kasulu.

Wananchi waliopokelewa katika shirika la Wote sawa ni wale waliofanyiwa ukatili wa kijinsia na wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto wa kike wachache wakibakia kuwa wakiume. Bi.Jackline alisema pindi waanga hao dhidi ya ukatili wa kijinsia wanapokuwepo kituoni hapo upatiwa stadi mbalimbali za maisha kama kujifunza ufundi cherehani ili wakiondoka katika kituo hicho waweze kuwa na ujuzi wa kupambana na maisha.

Pia Bw.Godfrey Kapaya Afisa Ustawi wa Jamii kutoka Halmashauri ya Mji-Kasulu, aliijulisha timu hiyo kuwa, waanga hao wanapokuwepo kituoni hapo mbali na huduma wanazopatiwa wakiwepo kituoni pia upatiwa matibabu,Kuhudhuria mashauri mbalimbali mahakamani dhidi ya kesi za ukatili wa kijinsia, Elimu ya ushauri Nasaha na Baadae kuwasafirisha kwenda kuungana na familia zao.

Yote haya yamebainika kupitia ziara ya waandishi wa Habari kutoka katika Mradi KJP iliyofanyika Agosti 7,2019, Miradi inayofadhiliwa na KJP imelenga kuisaidia Jamii ya Kasulu ikiwa ni Mpango wa mashirika ya umoja wa mataifa dhidi ya maeneo yaliyoathirika na uwepo wa kambi za wakimbizi kutoka nchi za Burundi na Congo.

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIPYA December 09, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • MATOKEO YA USAILI KWA NAFASI ZA UTENDAJI WA MITAA APRILI 2018 April 06, 2018
  • JOIN INSTRUCTION FOR FORM ONE KASULU TOWN COUNCIL 2021 December 15, 2020
  • View All

Latest News

  • WANANCHI WA KASULU MJI WAPATIWA ELIMU YA CORONA

    May 20, 2020
  • Viongozi wa Dini watakiwa kuzingatia sheria na Taratibu za nchi wakati wa Ibada

    November 12, 2019
  • Wananchi wa Kasulu watakiwa kupiga ukatili dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

    December 13, 2019
  • WAFANYABIASHARA SOKO LA MWILAMVYA WACHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA COVID 19

    May 21, 2020
  • View All

Video

Sherehe za siku ya mapinduzi zanzibar
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Kasulu Town Council

    Postal Address: P.O.BOX 475

    Telephone: 028-2810335

    Mobile: 0784997037

    Email: td@kasulutc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.