• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
    • Units
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

WAFANYABIASHARA SOKO LA MWILAMVYA WACHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA COVID 19

Posted on: May 21st, 2020

Wafanyabiashara katika soko la Mwilamvya waendelea kuchukua tahadhari ya kujinga na Ugonjwa COVID 19.

Haya yamebainishwa na Bi.Yabesi Lenikadi ambaye ni mfanyabiashara katika soko la Mwilamvya wa mbogamboga na Nyanya lilipo Halmashauri ya Mji wa Kasulu, wakati wa ziara ya Tathimini iliyofanywa na Wataalam kutoka shirika la IOM pamoja na Ofisi ya Mgaga Mkuu kutoka Idara ya Afya kasulu Mji.

Mbali ya uwepo wa mafanikio makubwa kuhusu kuchukua tahadhali ya ugonjwa wa CORONA kwa wafanyabiashara na wananchi wa Kasulu Mji,ikiwemo kila mfanyabiashara kunawa mikono vizuri kwenye ndoo kubwa zilizowekwa kwenye milango 4 ya kuingia kwenye soko la Mwilamvya.

 Pia kuna changamoto chache ambazo zimebainika wakati wa ziara hiyo, iliyofanyika tarehe 21 mei,2020 ikiwemo baadhi ya wafanyabiashara kushidwa kufuata maelekezo ya Wizara ya Afya ambayo wamepatiwa na timu hiyo ya Wataalam hao .Changamoto hizo ni ukosefu wa ndoo tiririsha maji pamoja na uwepo wa sabuni ya kunawa pindi mteja anapotaka kupokea huduma.

 Bi.Yabesi amesema mbali na uwepo wa changamoto hiyo pia kuna changamoto ya wateja wenyewe kukataa kunawa mikono kabla ya kupokea huduma, sababu ambayo inamvunja moyo dhidi ya mapambano ya ugonjwa wa Corona na kushauri kuwa ni vizuri mamlaka husika zikaendelea na kutoa Elimu ili kuweza kuwakinga na Ugonjwa wa COVID 19.  

Announcements

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAHILI JIPYA December 09, 2020
  • FOMU YA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA 2021 December 15, 2020
  • MATOKEO YA USAILI KWA NAFASI ZA UTENDAJI WA MITAA APRILI 2018 April 06, 2018
  • JOIN INSTRUCTION FOR FORM ONE KASULU TOWN COUNCIL 2021 December 15, 2020
  • View All

Latest News

  • WANANCHI WA KASULU MJI WAPATIWA ELIMU YA CORONA

    May 20, 2020
  • Viongozi wa Dini watakiwa kuzingatia sheria na Taratibu za nchi wakati wa Ibada

    November 12, 2019
  • Wananchi wa Kasulu watakiwa kupiga ukatili dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia

    December 13, 2019
  • WAFANYABIASHARA SOKO LA MWILAMVYA WACHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA COVID 19

    May 21, 2020
  • View All

Video

Sherehe za siku ya mapinduzi zanzibar
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

    Kasulu Town Council

    Postal Address: P.O.BOX 475

    Telephone: 028-2810335

    Mobile: 0784997037

    Email: td@kasulutc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.