• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

WATAALAMU FANYENI KAZI KWA WELEDI

Posted on: September 14th, 2023

WATAALAM HALMASHAURI YA MJI WAASWA KUTOFANYA KAZI KWA MAZOEA KWANI ITAWAPUNGUZIA WELEDI 

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Kanal Isaac Mwakisu amewataka wataalamu na watumishikuacha kufanya kazinkwa mazoea kwani kufanya hivyo kunawapunguzia nidhamu na WELEDI kazini.

Aliyasema hayo wakati wa kikao cha ofisi ya Mkuu WA Wilaya na wataalamu hao ambacho lengo lake ilikuwa kukumbushana namna ya kufanya kazi Kufata misingi na maadili ya kiutumishi na kusema,“Ninyi watumishi wa serikali hakikisheni manatunza siri za serikali nanmuwe watiifu ili kufanya kazi Kwa weledi na maadili baadhi yenu hamfanyi hivyo mnatoa Siri za serikali Tu hovyohivyo badilikeni kwani mkifanya kazi hii itapunguza mizigo kwangu ya kitatua Kero ambazo zilitakiwa zitatuliwe ngazi ya chini Kwa watendaji wa kata”.

Aidha Mwakisu ameendelea kuwasisitiza kuwa uwajibikaji Kwa baadhi ya wataalamu hauridhishi kwani wengi wao wanafanya kazi kwa mazoea   na kuahidi kuwachukulia hatua  nankuwawajibisha wale wote ambao hawatendi kazi  Kwa weledi

Kwaupande wake Katibu Tawala wa Wilaya ya Kasulu Bi.Telesia Mtewele alisema,“Kwanza kabisa naomba niwatie Moyo kwani mnafanya kazi vizuri saana  na tuendelee kuchapa kazi lakini ofisi yetu haitavumilia Kwa yeyote atakayekiuka misingi ya maadili ya utumishi wa umma naendelea  kuwasisitiza watumishi kuacha tabia ya kutoa Siri za serikali  kwani nikosa kisheria na pia halmashauri yenu ya mji wa Kasulu unafanya vizuri sana kazi niwaombe tushirikiane”.

Naye Mkurugenzi wa Kasulu Mji Bw.Dollar Rajab Kusenge amesema ,“kwanza nikushukuru Mkuu wa Wilaya na Katibu Tawala Kwa kuweza kufanya kikao na watumishi wangu nimepokea na nakuahidi kuyafanyia kazi maelekezo yote uliyonipatia na majibu nitayawakilisha lakini pia niendelee kuwasisitiza watumishi wenzangu tuendelee kufanya kazinkwa kufuata maadili ya utumishi kwani serikali ya awamu ya sita ya Rais Samia Suluhu Hassan imetupendelea Kwa kutupa miradi mingi ya maendeleo na inaendelea kutupatia hatuna budi kumshukuru kwahyo kufanya kwetu kazi na kusimamia vizuri kutafanya tuendele kupata miradi mingi zaidi na niwaombe tushirikiane”.

 

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 01, 2025
  • View All

Latest News

  • MPANGO WA SHULE BORA IMEBORESHA TAALUMA YA UFUNDISHAJI KASULU MJINI.

    July 01, 2025
  • JAI SHUJAA WA DAMU KASULU

    June 09, 2025
  • “Waalimu Waaswa Kuongeza Ubunifu Katika Kufundisha Ili Kuleta Mabadiliko Chanya”;TD Simbeye.

    May 30, 2025
  • Waajiriwa Wapya wa Halmashauri ya Mji Kasulu Wajengewa Uwezo Kupitia Mafunzo ya Mfumo wa MUKI

    May 29, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.