• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

KIGOMA YAADHIMIA KUTOKOMEZA MAAMBUKIZI YA VVU KUFIKIA 0%

Posted on: February 7th, 2024

Mganga mkuu mkoa wa kigoma Dkt. Jesca Lebeea aweka wazi malengo ya mkoa wa Kigoma katika kutokomeza ukimwi toka asilimia 1.7 mpaka 0 wakati Akihutubia mapema Leo hii.

Amebainisha hayo kwenye utambulisho wa Mradi wa kupunguza umaskini kwa watu wanaoishi na VVU kupitia kilimo cha mbogamboga na matunda pamoja na kutoa uelewa dawa za kupunguza makali ya VVU na kipimo cha jipime hususani kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu wilayani Kasulu chini ya shirika la Disabilities Relief services (DRS) kupitia ufadhili wa ubalozi wa Marekani.


Amesema kuwa kuondoa maambukizi ya Ukimwi na kumfikia sifuri inawezekana ikiwa uzingatiaji wa  lishe bora kwa wahanga utazingatiwa.


"kama mkoa lengo kuu ni kushusha maambukizi mpaka tufikie 0% kama tumetoka 2.9% mpaka 1.7% basi inawezekana lakini ni kuongeza hadhi ya lishe pamoja na  kuwa miongoni mwa mikoa yenye udumavu ya lishe lakini kwa kuwekeza kwenye elimu tunaweza tatua changamoto hii."


Ameongeza kuwa iwapo itaonekana kuna uhitaji  watapeleka ushauri wa upatikanaji wa Prep maeneo mbalimbali nje ya vituo vya Afya (madukaya madawa) ikiwa sera ya wizara ya Afya inataka hivyo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa DRS Jeremia Mutagos amesema mradi umelenga kuwezesha wahusika kupata chakula pamoja na kujikimu ndio maana hasa wameelekeza katika kilimo cha mboga mboga na matunda.

"Tumelenga kwenye kilimo cha mboga mboga ili kusaidia waathirika kwanza kupata lishe bora lakini pia mboga na matunda wanaweza kuuza ili kupata nauli ya kufatia dawa Kwani wengi wamekua wakikosa nauli ya  kuhudhuria katika vituo vya Afya."

Mradi huo ambao utanufaisha kata tano wilayani Kasulu tatu tokea Halmashauri ya mji ikiwa kata ya  Kimobwa, Murubona na Murusi kwa kipindi cha mwaka Mmoja ukigharimu kiasi cha dola 25,000 Sawa na Millioni 60 za kitanzania.

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.