• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

MBUNGE WA JIMBO LA KASULU MJINI MHE. Prof. JOYCE LAZARO NDALICHAKO AHITIMISHA ZIARA YA KIKAZI YA SIKU TANO.

Posted on: April 30th, 2025


Mbunge ya Jimbo la Kasulu Mjini Mkoani Kigoma Mhe. Prof. JOYCE LAZARO NDALICHAKO amehitimisha ziara yake ya siku tano za  kikazi katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Mji wa Kasulu.Katika kuendelea kuunga mkono juhudi za Mhe. Rais Samia na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mbunge aligawa Mashine ya kurudufia karatasi na sare za wanafunzi katika Shule ya Msingi Marumba, vifaa vya wajawazito wakati wa kujifungua, vyandarua kwa ajili ya wajawazito na watoto sambamba na kuweka mawe ya ufunguzi na kufungua rasmi baadhi ya Shule za Msingi na vituo vya afya n.k.


Ziara hiyo ilianza tarehe 25.4.2025, Katika ziara hiyo ya kikazi ,amefanya mambo mbalimbali ikiwemo kuweka mawe ya  msingi shule ya msingi Mnyika  na Sekondari ya Msambara kata ya Msambara, ameshiriki zoezi la utoaji mikopo ya asilimia kumi kwa vikundi, uzinduzi wa shule ya msingi Ndalichako iliyoko kata ya Murusi na kuweka jiwe la msingi kituo cha afya Nyansha na ugawaji  wa vyandarua  na seti za kujifungulia katika kituo hicho cha afya  Nyansha.

Aidha Mheshimiwa Ndalichako katika Kata ya Murubona ametembelea kituo cha afya cha Kiganamo na Hospitali ya Wilaya  ambapo ameshiriki katika zoezi la kugawa taulo za kike.


Kata ya Heru Juu amefika  Zahanati ya Heru Juu na kugawa seti za kujifungulia, ameiembelea Kata ya Muhunga kituo cha afya Muhunga na  kugawa vyandarua katika kituo hicho ,ametembelea Sekondary za Mhunga na Marumba.

Mheshimiwa Ndalichako amekagua ujenzi wa stendi ya Kumnyika, ujenzi wa soko la sofya, uwekaji wa kifusi eneo la mnadani  na ujenzi shedi ya abiria pamoja  na daraja la Nyantare.


Kipekee alimshukuru Mh Rais  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mh Samia Suruhu Hassan kwa juhudi zake kubwa za kuleta fedha za miradi ya maendeleo kwa kipindi chote cha miaka minne. Katika ziara hiyo ya kikazi aliambana pia Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Mwalimu VUMILIA SIMBEYE ambaye amesema anashuru sana kwa ushirikiano mkubwa uliopo kati ya Ofisi ya Mheshimiwa Mbunge na Halmashauri ya Mji wa Kasulu na kumhakikishia kuwa; ushirikiano huu utaendelea wakati wote.


Katika ziara hiyo wananchi wamefarijika sana na kumshukuru Mheshimiwa Mbunge kwa ujio wake ambapo wamesema wanaimani kubwa na Mbunge huyo. Kazi na utu,

Tunasonga mbele.


Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.