• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

TATHMINI YA MKATABA WA LISHE ROBO YA JULAI -SEPTEMBA YAFANYIKA

Posted on: October 23rd, 2023

TATHIMINI YA MKATABA WA LISHE KWA ROBO YA JULAI-SEPTEMBA YAFANYIKA IKIWASHIRIKISHA WATENDAJI WA KATA 15 ZA HALMASHAURI YA MJI

Maafisa lishe wa halmashauri watakiwa kuendelea kutoa Elimu kwa jamii kuhusiana na maswala ya lishe kwani baadhi ya wananchi hawafahamu namna ya kupangilia vyakula vya lishe ingawa wana vyakula vingi.

Kaimu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Bi Telesia Mtewele ambaye ni Katibu Tawala wa Wilaya ya kasulu katika kikao cha tathimini ya mkataba wa lishe julai mpaka septemba alisema,”andaeni ratiba za kuwafuata watu huko waliko kuliko kusubiri mpaka mpate hela ndo muwaite na ninyi watendaji mkasimamie kwenye shule mbazo hawatoi chakula ikiwa ni pamoja na kuwashirikisha jamii katika kushiriki maadhimisho ya lishe kwenye mitaa yao hivyo mnatakiwa kuhakikisha fedha zinazotolewa zinafanya kazi iliyokusudiwa na kuhakikisha kunakuwa na mpango jumuishi wa lishe katika maeneo yenu ya kiutawala mpaka kwenye jamii kwani bado kunaonekana watoto wengi wamedumaa”.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Mji Kasulu Bi Paschalina Mabena alisema,”ninawaomba ninyi watendaji mshirikiane na maafisa wa lishe kuendelea kutoa elimu kwaakina mama kuhusu kuacha kujifungulia nyumbani badala yake wakajifungulie kwenye vituo vya afya pamoja na maswala ya lishe hii itasaidia kuwa na jamii yenye afya bora”.

Naye afisa lishe wa halmashauri ya mji wa kasulu Bw.Mwita  Range alisema ,”kwasasa mwitikio wa jamii kushiriki maswala ya lishe  umekuwa mkubwa hali inayopelekea kupunguza utapiamlo kwa watoto lakini pia kuchangia jiko darasa kwenye kata ili kuweza kufanikisha zoezi la lishe kwenye jamii na kuwaomba wananchi kuendelea kujitokeza kwa wingi na pia kufuata ushauri wanaopewa na maafisa lishe wanapopita kwenye maeneo yao”.

Kwasasa hali ya lishe kwa halmashauri ya mji inaendelea vizuri kwani wimbi la watoto wenye utapiamlo limepungua kwa asilimia 90% ukilinganisha na hapo awali ambapo jamii nyingi zilikuwa hazina uelelwa na elimu kuhusu maswala ya lishe na namna ya kupangilia mlo kamili licha ya kulima na kuwa na vyakula vingi.

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.