• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI JUMUISHI KUINUA TAALUMA

Posted on: August 2nd, 2023

UBORESHAJI UFUNDISHAJI NA UJIFUNZAJI JUMUISHI KUSAIDIA KUINUA TAALUMA MKOANI KIGOMA

Walimu mkoani kigoma wametakiwa kutumia mbinu mbalimbali ziliboreshwa  kufundishia na kujifunzia ili kuweza kuinua taaluma na kuwajengea uwezo watoto wenye mahitaji maalumu kushiriki kwa ufasaha katika kujifunza.

Hayo yalisemwa na mkufunzi wa mafunzo ya kitaifa kuhusu uboreshaji ufundishaji na ujifunzaji jumuishi bw.Amos kazimili machemba ambaye ni Mkufunzi wa chuo cha ualimu kasulu na kusema”lengo la mafunzo haya  ni kuwawezesha walimu namna ya kuwabaini watoto wenye mahitaji maalumu pia kupata mbinu za kufundishia madarasa jumuishi na kuhakikisha kunakuwa na miundo mbinu rafiki inayoweza kufikika kwa urahisi na uwezeshaji katika jumuiya ya kujifunzia”.

Aidha Machema ameendelea kusema,”matarajio yetu baada ya mafunzo haya mwalimu aliyepata mafunzo haya ataenda kuwafundisha walimu wengine kwenye shule kuhusiana na namna ya kuwatambua  na kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalumu na tunatarajia wanafunzi pia watajifunza katika mazingira rafiki na yanayovutia kujifunza na kusonga mbele katika Nyanja hii ya elimu.

Kwa upande wao baadhi ya walimu kutoka shulembalimbali mkoani humu walioshiriki mafunzo hayo walisema,”kuwa vikwazo ambavyo wamekuwa wakikutana navyo katika ufundishaji wa madarasa jumuishi ni pamoja na wazazi wengi kuwaficha watoto wenye mahitaji maalumu,uelewa mdogo wa jamii kuhusu elimu,miundo mbinu isiyorafiki kama vyoo,madarasa,maji na umeme,upungufu wa vifaa vya kujifunzia na kufundishia na Imani potofu pia walimu hao wameeleza kuwa watatumia mbinu mbalimbali ili kusaidia kutoa elimu jumuishi kama vikao mbalimbali na wazazi,uwepo wa miundo mbinu rafiki ya madarasa na vyoo vya kisasa,walimu kupata mafunzo ya mara kwa mara kuhusu elimu jumuishi,kupunguza adhabu kali na kufaragua zana za kufundishia kulingana na mazingira na kuahidi kuhakikisha wanapandisha taaluma mkoani kigoma”.

 Jumla ya washiriki 95 wameshiriki mafunzo haya ya siku nne ambayo yanatarajia kumalizika agosti 4 ambapo waratibu kata,walimu wakuu,walimu,maafisa  taaluma,afisa elimu wa mji na mwakilishi wa afisa elimu mkoa ambao kwa upande wa viongozi walipata mafunzo kwa

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.