Posted on: October 23rd, 2025
Mkuu wa Wilaya ya Kasulu, Kanali Isaack Mwakisu, amekutana na viongozi wa dini wa madhehebu ya Kikristo na Kiislamu kujadili maandalizi ya uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 29 Oktoba 2025.
Akiwaon...
Posted on: October 18th, 2025
Msingi wa utu na heshima kwa jamii ni upendo, amesema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Mji Kasulu, Mwl. Vumilia Simbeye, wakati wa hafla ya makabidhiano ya viti mwendo 11 vilivyotolewa na Sauti Y...
Posted on: September 28th, 2025
Wananchi wa Halmashauri ya Mji Kasulu wamehimizwa kufuga mbwa kwa kufuata sheria na taratibu za ufugaji bila kusahau haki za wanyama ambapo wanatakiwa kuhakikisha mnyama anapatiwa mahitaji muhimu kama...