• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

WAZAZI WAIPONGEZA SERIKALI KWA KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WANAFUNZI MASHULENI

Posted on: January 18th, 2024

Wazazi wa Halmashauri ya mji Kasulu waipongeza serikali ya awamu ya sita kupitia kwa Dk. Samia Suluhu Hassan kwa kupunguza msongamano wa wanafunzi wa shule ya msingi Kasulu na kuhamia shule mpya ya msingi Murusi.

Wakizungumza shule hapo Leo hii wamesema shule hiyo mpya ya Murusi Imeweza kupunguza mrundikano wa wanafunzi walikua katika shule ya msingi Kasulu na kusema kuwa itasaidia wanafunzi kukaa kwa uhuru darasani na kuzingatia masomo yao.

Janet Ndemeye Amesema kuwa "Kwanza nipende kuchukua nafasi hii kupongeza Rais Dkt. Samia kwa kutujengea hii shule mpya na nafurahi mjukuu wangu kusomea katika shule hii nimekuja kumuaandikisha darasa la kwanza"

Akiongeza Gozbert Erasto amesema" nasikia fahari mwanangu kuhamishiwa katika shule hii Mpya yenye miundombinu mizuri awali mwanangu alikua katika shule ya msingi Kasulu lakiki Sasa hivi darasa la pili kuhamishiwa huku Murusi pia nitoe pongezi za dhati kwa Rais wetu kwa kuwekeza katika miundombinu ya elimu na sisi kama wazazi tunamuahidi kuitunza.

Aidha kwa upande wake Afisa elimu kata ya Murusi Gervas Edward Lugeze Amesema anaipongeza serikali kwa kusimamia ilani ya Chama kwa kuhakikisha miradi iliyopangwa kutekeleza inakamilika.

"Leo nimekuja kukagua hii shule mpya ambayo imejengwa imegharimu kiasi cha Tsh 361,500,000 ikiwa na madarasa ya mfano ya awali pamoja na shule ya  lakini pia kukamilisha shule hizi mpya Mfano katika shule hii ya Murusi  imeandikisha wanafunzi wapya wa darasa la awali na la kwanza kuanzia darasa la pili wamehamishwa toka shule ya kasulu.”

Ikumbukwe kuwa shule ya msingi ya Murusi imejengwa kwa fedha za Mradi wa BOOST 2022/23 ambapo mpaka imekamiliaka imegharimu kiasi cha milioni mitatu sitini na moja na laki tano ikiwa na vyumba tisa vya madarasa mawili yakiwa ya mfano ya awali, vyoo pamoja na jengo la utawala na  tayari madarasa yake yameanza kutumika katika muhula huu wa masomo 2024.


Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.