• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

HALMASHAURI KUU YA CHAMA CHA MAPINDUZI YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CHAMA CHA MAPINDUZI KASULU

Posted on: March 24th, 2025

Katika kikao chake cha kujadili taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi 2020-2025 ya Wilaya ya Kasulu   kipindi cha kufikia February, 2025 Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi imeridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Kikao hicho kilichofungulia na Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ndugu  Mbelwa Chande kwenye Ukumbi wa Halmashauri ya Mji Kasulu  na kuhudhuria na wajumbe kutoka Halmashauri ya Mji Kasulu Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu.

Akitoa taarifa ya utekelezaji wa miradi mbalimbali Mkuu wa Wilaya ya Kausu Col. Isaac A. Mwakisu amesema  miradi iliyotekelezwa kwa ufanisi katika Wilaya ya Kasulu ni pamoja na mafanikio yaliyopatikana katika  miradi ya kilimo ambapo  Wilaya ya Kasulu imeendelea na kunufaika na pembejeo zilizo na ruzuku ya Serikali.

 Jumla ya tani 55,081.9 za mbolea zenye ruzuku ya Serikali imetolewa kwa wakulima 95,528 waliosajiliwa kwenye mfumo wa kielettroniki kwa msimu wa kilimo wa 2020-2025 Katika Mwezi Februari 2025.

Mfuko wa Maendeleo ya Jamii –TASAF, Wilaya ya Kasulu imetekeleza Mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia Tasaf ampapo katika kipindi cha mwaka 2020-2025 hadi kufikia mwezi Februari 2025 kwa kusimamia kasi ya utekelezaji kwa kipindi kipindi cha awamu ya tatu ya TASAF III ili kuwafikia wananchi maskini katika mitaa 108 na vijiji 61 Halmashauri ya Mji kwa kutekeleza miradi ya ajira za muda, kukuza uchumi wa kaya na kuendeleza rasilimali watu.

 Miradi mingine iliyotekelezwa ni pamoja  miradi ya Nishati ya umeme, maliasili,Ardhi,Miradi ya Elimu, Huduma za Maji  na Afya.

Akihitimisha uwasilishaji wake Col.Mwakisu  amesema Uongozi wa Wilaya ya Kasulu unatoa shukrani za dhati kwa Serikali Kuu, Taasisi za Serikali, Serikali za Mitaa, Wadau wa Maendeleo, Wananchi, Sekta binafsi, Masirika yasiyo ya Kiserikali kwa mchango na ushirikiano mkubwa walioupata katika kipindi cha utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi kwa kipindi cha 2020-2025 kufikia Mwezi February 2025.

Akifunga kikao hicho  Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya  Ndugu  Mbelwa Chande amepongeza Wakurugenzi wa Wilaya zote mbili za Kasulu Mji na Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu kwa usimamizi mzuri wa Ilani ya  Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi na kwamba  Wilaya ya Kasulu haina deni tena kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 01, 2025
  • View All

Latest News

  • MPANGO WA SHULE BORA IMEBORESHA TAALUMA YA UFUNDISHAJI KASULU MJINI.

    July 01, 2025
  • JAI SHUJAA WA DAMU KASULU

    June 09, 2025
  • “Waalimu Waaswa Kuongeza Ubunifu Katika Kufundisha Ili Kuleta Mabadiliko Chanya”;TD Simbeye.

    May 30, 2025
  • Waajiriwa Wapya wa Halmashauri ya Mji Kasulu Wajengewa Uwezo Kupitia Mafunzo ya Mfumo wa MUKI

    May 29, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.