• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

HALMASHAURI YAZINDUA ZOEZI LA UTOAJI VYETI VYA KUZALIWA

Posted on: October 3rd, 2023

MPANGO WA KUSAJILI NA KUTOA VYETI VYA KUZALIWA WAZINDULIWA HALMASHAURI YA MJI KASULU

 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Kasulu Mheshimiwa Noel Hanura Buliho ametoa rai kwa Wananchi  wa wa Mji Kasulu kujitokeza kwa wingi kuwasajili watoto wenye umri wa chini ya miaka 5 ili waweze kupata vyeti vya kuzaliwa kwani vitawasaidia kwa maisha ya baadae.

Aliyasema hayo wakati wa uzinduzi wa zoezi la usajili vyeti vya kuzaliwa  kwa watoto chini ya miaka 5 na kusema,”naishukuru serikali kwa kuleta mpango huu katika eneo letu kwani utaleta mabadiliko chanya katika maswala ya usajili kwani kwa miaka iliyopita kupata cheti cha kuzaliwa ilichukua takribani miezi sita na sasa tumeona maboresho haya yanavyoleta mapinduzi makubwa “.

“ili mpango huu ufanikiwe ni muhimu tufanye uhamasishaji wa wananchi na kuhakikisha wanapata ujumbe sahihi kwamba uwepo wa mpango huu wa kutoa vyeti ni halali na watoto watavitumia muda wote wa maisha yao na pia nawashukuru wadau wa maendeleo shirika la watoto la uoja wa mataifa UNICEF Serikali ya Canada ,kampuni ya simu za mikononi ya TIGO ambao mmeshirikiana na serikali kupitia RITA kuhakikisha utekelezaji wa mkakati huuunaendelea kutekelezwa tunatamini sana kazi mnayoifanya katika nchi yetu”,aliendelea kusema Hanura.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa halmashauri ya mji kasulu bw.Dollar Rajab Kusenge amesema,”tumezindua mpango wa usajili kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano ambao lengo lake ni kumwezesha kila mtoto aliyepo katika eneo letu anasajiliwa na kupata cheti cha kuzaliwa hivyo watakaosajiliwa wawe watu sahihi wenye umri wa chini ya miaka 5 na sitarajii watu wenye umri uliozidi kuja hapa na kutaka kupitia zoezi hili na wao wapate cheti na chimbuko la mpango huu ni kutokana na kwamba idadi kubwa ya wananchi hawajasajiliwa hawana vyeti vya kuzaliwa”.

Nao baadhi ya Wazazi waliofika katika kituo cha afya kiganamo kwa ajili ya kuwasaidia watoto wao waweze kupata vyeti vya kuzaliwa Bi Agnes Honkonya na bw. Revocatus John wamesema,”tunaishukuru serikali ya awamu ya sita ya Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha wananchi  wa kasulu kuweza kupata vyeti vya kuzaliwa bure bila malipo vitawasaidia watoto wetu kwenye elimu ,afya na mikopo na pia hata kutuondolea ule usumbufu wa kufuatilia vyeti kwa muda mrefu tunawasihi wananchi wenzetu tujitokeze kwa wingi ili tuwaajili watoto wetu wapate vyetivya kuzaliwa”.

Katika zoezi hili halmashauri ya mji wa kasulu tunategemea kuwa sajili watoto 34,437 walio na umri chini ya miaka mitano na hawana vyeti vya kuzaliwa na zoezi hili litakamilika ndani ya siku kumi na nne na kutakuw ana vituo vya usajili 37 ambapo 15 ni ofisi za watendaji kata na 22 ni vituo vya tiba.

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.