• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

MAANDALIZI YA KUUPOKEA MWENGE WA UHURU 2025 YAANZA KASULU

Posted on: April 6th, 2025

Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imeanza maandalizi ya kuupokea mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025 kwa kuboresha utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Akizungumza katika kikao kazi cha kujadili mikakati ya kuupokea mwenge wa uhuru kwa mwaka 2025  kilichowakutanisha viongozi na wakurugenzi wa halmashauri zote mbili mkuu wa wilaya ya Kasulu kanali Isaac mwakisu amesema wameanza mikakati mapema ili kuhakikisha wanafanya vizuri katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ambayo itapitiwa na kukaguliwa na kiongozi wa mbio za mwenge wa Uhuru mwaka huu.

"Mnatakiwa kusimamia miradi ya maendeleo kulingana na maelekezo yanayotolewa na Serikali na mnapohitaji kununua vifaa vya ujenzi hakikisheni anakuwepo afisa manunuzi  ili aweze kununua vifaa vyenye ubora na kuhakikisha anapata risiti zinazotolewa na Mamlaka ya Mapato Tanzania na kuacha kununua risiti feki ambazo zinaweza kuleta changamoto wakati wa kutembelea miradi ya maendeleo" Amesema kanali Mwakisu.

Kwa wao baadhi ya wajumbe katika kikao hicho akiwemo mkuu wa idara ya maendeleo ya jamii halmashauri ya mji Kasulu Bw.Nurfusi Aziz amepongeza hatua ya kuanza ufuatiliaji mapema na kwamba inalenga kuleta tija katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

"Tunashukuru kwa kikao hiki cha maandalizi na tunaamini wakaguzi kutoka mkoani Watatuelekeza vizuri katika miradi mbalimbali ili iweze kuwa na ufanisi na pia tumejipanga kuhakikisha tunapata vijana wengi wa hamasa ambao watashirikiana kuhakikisha kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa mwaka huu anaona na kutambua mchango wa vijana katika kuleta maendelo katika wilaya nzima ya Kasulu" amesema Aziz

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji Halamshauri ya Mji Kasulu Mwl vumilia Simbeye amesema atahakikisha fedha zinazotolewa na Serikali chini Ya  Rais mh.Dkt Samia Suluhu Hassaan zinafanya kazi kwa malengo yaliyokusudiwa na kuhakikisha miradi yote inatekelezwa kwa ubora.

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 01, 2025
  • View All

Latest News

  • MPANGO WA SHULE BORA IMEBORESHA TAALUMA YA UFUNDISHAJI KASULU MJINI.

    July 01, 2025
  • JAI SHUJAA WA DAMU KASULU

    June 09, 2025
  • “Waalimu Waaswa Kuongeza Ubunifu Katika Kufundisha Ili Kuleta Mabadiliko Chanya”;TD Simbeye.

    May 30, 2025
  • Waajiriwa Wapya wa Halmashauri ya Mji Kasulu Wajengewa Uwezo Kupitia Mafunzo ya Mfumo wa MUKI

    May 29, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.