• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

MAMA SAMIA ATOA ZAWADI YA SIKUKUU ZA IDDI

Posted on: March 31st, 2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan leo ametoa zawadi kwa vituo mbalimbali vya watoto waishio katika mazingira magumu nchini. Akikabidhi zawadi hizo kwa baadhi ya vituo vilivyopo Kasulu Mkuu wa Wilaya Kanal Isaack Anthon Mwakisu akimwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amesema amepokea zawadi ya chakula chenye thamani ya Tshs 2,500,000 kwa ajili ya Watoto waliopo Kasulu ili waweze kusherehekea vizuri sikukuu ya iddi.Kanal Mwakisu amesema amejisikia furaha sana kupata nafasi ya kufika na kukabidhi zawadi hizo ambazo zimetolewa na Mkuu wanchi kwa moyo wake wa upendo kwa wananchi wa hali zote na kusema ameagizwa kuwaambia Watoto kwamba Rais anawapenda na anawatakia sikukuu njema.Aidha DC Mwakisu amesema watoto kama hao wanahitaji faraja kutoka katika jamii ili waweze kukua wakitambua umuhimu wa kuishi kwa upendo na kuthamini wengine hasa walio katika mazingira kama wanayoyapitia. Kwa niaba ya watoto wote, mtoto mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa ametoa shukrani nyingi za dhati kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassani kwa kutambua uwepo wao na kusema “...tumejisikia vizuri na kujiona wenye thamani kwa kutambuliwa na viongozi wakubwa ambao wana majukumu mengi lakini bado wamekumbuka uwepo wetu Mungu awabariki sana.Sasa tunaweza kujiona kama taifa kubwa la baadaye...”Aidha Mkurugenzi wa Mji Kasulu naye alisema kwamba wanamshukuru Mh Rais kupitia kwa Mkuu wa Mkoa pamoja na Mkuu wa  Wilaya kwa zawadi hizo na kuwaasa wamiliki wa vituo hivyo kufikisha zawadi hizo kwa  walengwa.Naye Kaimu Afisa ustawi kiongozi wa Halimashauri ya Mji ndugu Festo P.Solly aliongezea kwa kusema wanamshukuru sana Mh.Rais kwa kuendelea kuwashika mkono watoto hawa ambao wanahitaji sana upendo na kutoa wito kwa wamiliki wa vituo kuhakikisha wanawapa upendo watoto hawo na zaidi kwamba wao kama maafisa wanafurahi kufanya kazi kwa ushirikiano .

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI July 01, 2025
  • View All

Latest News

  • MPANGO WA SHULE BORA IMEBORESHA TAALUMA YA UFUNDISHAJI KASULU MJINI.

    July 01, 2025
  • JAI SHUJAA WA DAMU KASULU

    June 09, 2025
  • “Waalimu Waaswa Kuongeza Ubunifu Katika Kufundisha Ili Kuleta Mabadiliko Chanya”;TD Simbeye.

    May 30, 2025
  • Waajiriwa Wapya wa Halmashauri ya Mji Kasulu Wajengewa Uwezo Kupitia Mafunzo ya Mfumo wa MUKI

    May 29, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.