• complaint |
    • Contact Us |
    • FAQ |
    • Staff Mail |
Kasulu Town Council
Kasulu Town Council

The United Republic of Tanzania President's Office Regional Administration and Local Government Kasulu Town Council

  • Home
  • About Us
    • History
    • Mission and Vision
    • Core Values
    • Strategies
  • Administration
    • Organisation Structure
    • Department
      • ELIMU SEKONDARI
      • ELIMU AWALI NA MSINGI
        • MAENDELEO YA JAMII
      • MAENDELEO YA JAMII
      • MIUNDOMBINU MAENDELEO YA MJINI NA VIJIJINI
      • HUDUMA ZA AFYA USTAWI WA JAMII NA LISHE
      • VIWANDA BIASHARA NA UWEKEZAJI
      • KILIMO MIFUGO NA UVUVI
      • MIPANGO NA URATIBU
      • UTAWALA NA USIMAMIZI WA RASILIMALI WATU
    • Units
      • USIMAMIZI WA TAKA NGUMU NA USAFI WA MAZINGIRA
      • MICHEZO UTAMADUNI NA SANAA
      • FEDHA NA UHASIBU
      • HUDUMA ZA SHERIA
      • UKAGUZI WA NDANI
      • USIMAMIZI WA UNUNUZI
      • TEHAMA
      • MAWASILIANO SERIKALINI
      • NMALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
      • MALIASILI NA HIFADHI YA MAZINGIRA
  • Investment opportunities
    • Agriculture
    • Livestock
  • Our Services
    • Health
    • Education
    • Agriculture
  • Councillors
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Ratiba
      • Ratiba
    • Kamati za kudumu
      • Kamati ya Fedha na Uongozi
      • Kamati ya Mipango Miji Ujenzi na Mazingira
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Uchumi Elimu Afya na Maji
  • Projects
    • Proposed Projects
    • On-going-Projects
    • Completed Projects
  • Publications
    • Brochures
    • By Law
    • Strategic Plan
    • Reports
  • Media Centre
    • Video
    • Press Release
    • Speeches
    • Photo Gallery

ZOEZI LA CHANJO LAZINDULIWA HALMASHAURI YA MJI

Posted on: September 21st, 2023


Na Mwandishi Wetu

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Mji wa kasulu Dr.Peter Janga kwaniaba ya mkurugenzi wa Mji amezindua zoezi la utoaji wa chanjo  Kwa halmashauri ya Mji wa kasulu ambalo zoezi hilo litadumu Kwamuda wa siku nne kuanzia 21 septemba na kumalizika 24 septemba Kwa kata zote 15.

Aidha Janga amewaasa wananchi kuwaruhusu watoto wao wenye umri wa kuanzia miaka 0 mpaka 8 kupata chanjo ya polio ambayo itawakinga na ugonjwa wa kupooza na kuelezwa kuwa zoezi hili litapita nyumba Kwa nyumba ,kwenye taasisi,masoko na stendi za mabasi na  kuwasisitiza kuwa chanjo hii haina madhara na hivyo timu za uchanjaji ziwafuate walengwa majumbani na kuwawekea alama na si kuwakusanya  watoto sehemu  moja ambayo itasababisha kutokuweka alama katika nyumba ambazo watoto wamechanjwa.

Kwa upande wake Mratibu wa chanjo Halmashauri ya Mji Kasulu Bi Happyness Munis amesema,“malengo yetu  katika zoezi ili la chanjo ya polio ni kuchanja watoto 86,760 naiomba  jamii kutoa ushirikiano Kwa watoa huduma kwani zoezi hili ni muhimu Kwa kuwakinga watoto wetu dhidi ya ugonjwa wa polio ambao unaleta ulemavu wa kudumu au kifo na pia chanjo hizi zimethibitishwa na nisalama.

Naye Mratibu wa Elimu ya Afya Kwa Umma  Be.Marcus Peter amesema kuwa wamefanya kazi ya uhamasishaji Kwa njia mbalimbali za ugawaji wa vipeperushi,rediona matangazo Kwa njia ya gari pia jamii imeonyesha mwitikio  mkubwa WA zoezi hili japo kuna baadhi ya wananchi wamekuwa na Imani potofu kuwa chanjo hizi sio salama na hivyo kuwaomba kuondokana na dhana hizo na kuruhusu  watoto wao wapate chanjo ya polio.

Baadhi ya wananchi ambao watoto wao wamepatiwa chanjo hiyo ya polio wamesema,“Kwanza tunafuraha Kwa watoto wetu kupata chanjo hii kwani tutakuwa tumewakinga na ugonjwa huu wa polio na Sisi tulokuwa na dhana za kuwa chanjo hizi sio salama lakini baada ya watoto wetu kupata chanjo bila madhara yoyote tutaenda kuwa mabalozi Kwa wenzetu na wao waruhusu watoto wao wapate chanjo ilinkuwakinha na ugonjwa wa kupooza ama kifo”.

Announcements

  • NAFASI ZA KAZI March 19, 2025
  • TANGAZO LA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA April 30, 2025
  • View All

Latest News

  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • KAIMU KATIBU TAWALA MKOA NDUGU ELIASANTE M.MBOELO AKABIDHIWA VIFAA TIBA HUDUMA ZA MACHO MKOANI KIGOMA

    May 08, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KASULU TC LATOA PONGEZI

    May 05, 2025
  • View All

Video

UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA
More Videos

Quick Links

  • News

Related Links

  • TAMISEMI
  • Ega
  • Utumishi
  • Kigoma Region

World visitors tracker

world map hits counter

Contact Us

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • FAQ
    • Sitemap
    • Service
    • Test

Copyright ©2017 Kasulu Town Council. All rights reserved.